GEZAULOLE KIGAMBONI
Mradi wa Makazi wa Gezaulole Kigamboni unajumuisha jumla ya nyumba 329 na ulizinduliwa rasmi mwaka 2015. Ni moja ya miradi mikubwa ya ujenzi wa nyumba nchini, ambao unajumuisha nyumba za ghorofa, nyumba za chini pamoja na Kituo cha Maduka. Kwa sasa nyumba za Ghorofa zimepangishwa kwa watumishi wa umma na wananchi wanaochangia kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii; wakati 98% ya nyumba zote za chini tayari zimeuzwa.
Bei za kununua – Nyumba za chini Gezaulole
Na. |
Aina ya nyumba |
Idadi ya vyumba vya kulala |
Meta za mraba |
Bei (Bila VAT) |
Bei (ikiwa na VAT) |
1 |
Aina A |
3 |
115 |
89,830,508.00 |
106,000,000.00 |
2 |
Aina B |
3 |
85 |
65,254,237.00 |
77,000,000.00 |
3 |
Aina C |
3 |
85 |
57,627,118.00 |
68,000,000.00 |
Bei za Kupangisha – Nyumba za Ghorofa Gezaulole
Na. |
Aina ya nyumba |
Idadi ya vyumba vya kulala |
Meta za mraba |
Bei kwa mwezi |
1 |
Aina A |
3 |
115 |
350,000.00 |
2 |
Aina B |
3 |
85 |
300,000.00 |
3 |
Aina C |
2 |
60 |
250,000.00 |
4 |
Aina D |
1-2 (Studio) |
36 |
200,000.00 |