BODI YA WAKURUGENZI
Watumishi Housing Investments (WHI) inasimamiwa na kuongozwa na Bodi ya Wakurugenzi ambayo inajumuisha Wakurugenzi Wakuu kutoka Mifuko yote ya Hifadhi ya Jamii ambayo ni Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) na Kampuni ya Tanzania Mortgage Refinance (TMRC).
Serikali inawakilishwa kwenye Bodi na Mjumbe kutoka Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora (PO-
PSMGG).